tozo ya mshikamano

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Yesu Anakuja

    Tozo ya uzalendo iendelee tu, tujikaze tujenge nchi

    Kusema kweli toka moyoni, kama mzalendo, naamini tozo inatakiwa kuendelea, though ipunguzwe makali kama mama anavyosema, kwasababu tunahitaji pesa za kuendeshea nchi. Wote wanaopinga ni wale wanaotamani serikali isipate pesa iendelee kutegemea mataifa ya nje. Pia, nitashangaa sana kama kuna...
  2. Lord OSAGYEFO

    Wananchi wanalalamika tozo, Mbunge badala ya kuwatetea anaipigia debe Serikali

    Nchi ya ajabu kupata Kutokea. Mbunge anachaguliwa na wananchi ili awawakilishe bungeni akawasemee mahitaji yao na kero zao. Mbunge kashiriki kupitisha sheria ya tozo ambayo ni kero kwa wananchi wake. Wananchi wanalalamika Mbunge anageuka wakala wa Serikali kuwataka wananchi wake wavumilie...
  3. comte

    Matakwa na matamanio ya wananchi ndiyo chanzo cha kupanda kwa matumizi ya serikali na kodi za kuyahimili

    Sera na sheria ni matokeo ya matakwa na matamanio ya wananchi. Na siku zote ongezeko la kodi na tozo ni linaaksi majibu ya serikali yenye lengo la kuyafikia matakwa na matamanio ya wananchi wake. Hali hii inakuwa mbaya zaidi katika siasa za ushindani. Leo kuna kelele nyingi za kutukubaliana na...
Back
Top Bottom