Nimeona Waziri wa Fedha akisema tozo kwenye mabank wameziondoa na tozo walizoziondoa ni kama zifuatazo.
(i) Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki kwenda mitandao ya simu pande zote.
(ii) Tozo ya kuhamisha fedha ndani ya benki moja.
(iii) Tozo ya kuhamisha fedha kutoka benki moja kwenda...