tozo za magari

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    Kodi tunayotozwa kwenye magari ni kubwa mno kwani inaendaga wapi? Mbona sioni impact yake kwenye uchumi?

    Kwa wanaojua mchakato wa kununua gari nchini Tanzania hadi kukamilisha taratibu zoote za usajili, huwa gharama zinakuwa almost sawa na nusu ya bei ya gari ukilinganisha na nchi ilikotoka. Na kama hujatembea nchi za wenzetu unaweza usielewe namna sisi tunavyokamuliwa makodi makubwa. Mfano ni...
  2. I

    Tozo za magari nazo zishuke. Gari ni nyenzo muhimu ya maendeleo kwa nchi masikini kama yetu

    Tuipongeze serikali kwa jitihada inazofanya za kutafuta njia tofauti za kupunguza makali ya maisha kwa kupunguza tozo Sasa ifikie wakati serikali ione ulazima wa kupunguza ushuru wa magari kwani ni mkubwa mno hata kwa gari lililotumika Ikumbukwe tu gari ni moja ya nyenzo muhimu ya maendeleo...
Back
Top Bottom