Tukumbuke tu kwamba kumekuwa na malalamiko mengi ya wateja wa mitandao ya simu, kuktwa salio pasipo kujiunga na huduma yoyote ile. Hivyo basi kwa kauli hii ya waziri, haina budi wahusika watoe ufafanuzi.
Je, ni maelekezo kutoka juu?
- Malalamiko yangu kwa mitandao ya simu, hasa Halotel na...