tpb

  1. I

    Hivi TPB wameshaita second interview baada ya ile

    Zimepita wiki tatu sasa tangu Ile interview ya watu 20, 000 lifanyike wakitaka watu 58 tu
  2. I

    Je, TPB wameshaita second round?

    Wiki mbili zimepita sasa tangu tufanye interview.
  3. Mlenge

    Pongezi kwa TPB na Vodacom Tanzania kwa huduma ya M-Koba

    Pongezi nyingi kwa TPB na Vodacom Tanzania kwa huduma maridhawa ya M-Koba. Nimefurahi kukuta sasa mtu mwenye laini ya simu ya mtandao wowote anaweza kuwa mwanachama wa M-Koba. Mbona kimyakimya? Hili ni jambo kubwa sana. Lilipaswa kuzinduliwa kwa mashamsham yote. Fursa ya Kuboresha: Wekeni...
Back
Top Bottom