tplf

The Tigray People's Liberation Front (TPLF) (Tigrinya: ህዝባዊ ወያነ ሓርነት ትግራይ (ህወሓት), romanized: ḥəzbawi wäyanä ḥarənnät təgray, lit. 'Popular Struggle for the Freedom of Tigray') is an ethnic nationalist former paramilitary group, now leading political party, and former ruling party of Ethiopia, established on 18 February 1975 in Dedebit, northwestern Tigray, according to official records. Within 16 years, it had grown from about a dozen men into the most powerful armed liberation movement in Ethiopia. It led a coalition of movements named the Ethiopian People's Revolutionary Democratic Front (EPRDF) from 1989 to 2018. It fought a 15-year-long war against Derg regime which was overthrown in 1991. Due largely to its war fighting capabilities, the TPLF was at the forefront in the defeat of the Derg.
It is widely known as Woyane, Weyane, Wayana (Tigrinya: ወያነ) or Wayane (Amharic: ወያኔ) in older texts and Amharic publications. With the help of its former ally, the Eritrean People's Liberation Front (EPLF), EPRDF overthrew the dictatorship of the People's Democratic Republic of Ethiopia (PDRE) and established a new government on 28 May 1991 that ruled Ethiopia until its refusal to merge into the Prosperity Party in 2018.
On 18 January 2021, the National Election Board of Ethiopia terminated the party's registration, citing acts of violence and rebellion committed by the party's leadership against the Federal government in 2020, as well as a lack of representation.

View More On Wikipedia.org
  1. Ethiopia yadai kuidhibiti miji miwili kutoka kwa waasi

    Serikali ya Ethiopia imetangaza kuidhibiti tena miji miwili ya kimkakati ya Dessie na Kombolcha, mwezi mmoja baada ya kushikiliwa na wapiganaji wa Tigray Hatua hiyo ni ya hivi karibuni katika mfululizo wa ushindi wa haraka katika uwanja wa vita unaotangazwa na vikosi tiifu vya waziri mkuu Abiy...
  2. Ethiopia: Updates on war against TPLF

    Salaam, Kwa mahaba yangu Nitakua naweka updates za mapigano yanayoendelea huko Ethiopia Kati ya Jeshi la Serikali na Waasi wa TPLF na Jeshi lao liitwalo TDF. Kwanza Kuna vitu vya kuweka sawa 1. Vita siyo Kati ya Ethiopia na Jimbo la Tigray. Bali ni Vita ni Kati ya Ethiopia na Chama Cha TPLF...
  3. Hali yazidi kuwa tete Ethiopia, Marekani yawataka raia wake kuondoka

    Jeshi la Nchi hiyo limewataka Wanajeshi wa zamani kujiunga nao wakati linapambana na Waasi. Wito huo unakuja baada ya Vikosi vinavyoongozwa na TPLF kuendeleza nia ya kwenda Mji Mkuu, Addis Ababa Hali inayoendelea Ethiopia imepelekea Marekani kutoa tahadhari kwa Raia wake kuondoka mapema...
  4. Ethiopia: Facebook yafuta ujumbe wa Waziri Mkuu uliowataka wananchi "kuwazika" TPLF

    Mtandao wa Kijamii wa Facebook umefuta Ujumbe wa Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed uliowahimiza Wananchi kujipanga na kuandamana kwa njia isiyovunja Sheria wakiwa na silaha ili kuzuia Waasi wa TPLF Facebook imesema imeondoa Ujumbe huo kwasababu unakiuka Sera yake kuhusu kuchochea ghasia. TPLF...
  5. Ethiopia: Waasi wa TPLF watuhumiwa kuharibu maelfu ya vituo vya Afya

    Serikali Nchini humo imesema Waasi wa TPLF wameharibu maelfu ya Vituo vya Afya eneo la Kaskazini mwa Nchi hiyona kupelekea watu zaidi ya Milioni 1.9 katika Mikoa ya Amhara na Afar kukosa huduma. Waziri wa Afya, Lia Tadesse amesema Waasi wameharibu Hospitali 20 na Vituo vya Afya vipatavyo 277...
  6. Kwanini vita vya Ethiopia dhidi ya TPLF vimekuwa mwiba mchungu

    Hivi karibuni Waziri Mkuu wa Ethiopia amewaomba wananchi waungane na wale wenye uwezo wajiunge na majeshi ya Ethiopia ili kupambana na waasi wa TPLF. Hii imetokea baada ya kuonekana kuzidiwa kwa jeshi la Ethiopia kwenye mapambano dhidi ya wahasimu wao wa TPLF. Vita hii mwanzoni ilionekaba...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…