tra arusha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone mwamba

    Afikishwa Mahakamani kwa kutoa risiti feki za mauzo ya bilioni 1.8

    Serikali imemfikisha katika mahakama ya hakimu mkazi Arusha Afisa mauzo kutoka kampuni ya royal colour paint limited anayejulikana kwa jina la Silvester Charles akikabiliwa na makosa matatu utakatishaji fedha, kutoa risiti zisizo halali za malipo pamoja na kuisababishia mamlaka ya mapato...
  2. P

    KERO Kuna hujuma inaendelea hapa TRA Arusha

    Mhe Rais TRA Arusha wameblock baadhi ya machines za EFD za wafanyabiashara hapa Arusha, sijajua ni Arusha tu au Tanzania zima. Halafu ili wafungue kuna rushwa kubwa wanadai yaani kwa ujumla hili zoezi ni sehemu kubwa ya upigaji unafanyika.
  3. Rumanyika Donatus

    KERO TRA geti la Makuyuni Arusha ni tatizo, madereva wa malori tunapata tabu

    Kuna gate moja la barabarani wanakaa tra liko pale Makuyuni, jamani pale kuna tatizo. Iwapo utapita na lori lako pale umebeba mafuta ya kula umetoka zako Dar jamaa wanasumbua utadhani unavuka mpaka wakuingia nchi nyingine. Mwisho wanataka pesa ambayo hata ukifikisha mzigo hauendi kupata faida...
Back
Top Bottom