tra dar es salaam

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Fortilo

    DOKEZO TRA Kipata nani anamkingia kifua Thom Lardha/Phares Lardha kupandisha kodi kubwa ghalfa ndani ya muda mfupi?

    Mwenye nyumba Kariakoo (Mtaa wa Sikukuu/Kipata) anataka kuvuruga watu. Hapo nyuma alikuwa anapokea kodi ya TZS 24,000,000/= p.a, lakini yeye analazimisha na mwanasheria wake kuandika kodi ya TZS 6,000,000 tu p.a. Mwaka jana akasema kodi imepanda kutoka Mil 24 mpaka Mil 36! Akaambiwa kama...
  2. ChoiceVariable

    Dar yakusanya Tsh. Trilioni 13 kati ya 16.5 zilizokusanywa na TRA. Ni aibu kwa Tanzania kutegemea 80% ya Mapato kutoka Mkoa mmoja

    MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema Mkoa wa Dar es Salaam ni wa kipekee katika ukusanyaji wa mapato nchini. Kamishna Mkuu wa TRA, Yusuph Mwenda alisema hayo Dar es Salaam juzi usiku wakati wa hafla ya kuwapa tuzo walipa kodi bora wa mikoa ya kikodi ya Dar es Salaam kwa mwaka 2023/2024...
  3. M

    Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) yamwaga ajira

    TRA, wamemwaga ajira. Haya jobless tuchangamke. Positions: 1. Tax Management Officer II (573 Posts) 2. Customs Officer II (232 Posts) 3. Tax Management Assistant II (243 Posts) 4. Customs Assistant II (154 Posts) 5. Assistant Lecturer (15 Posts) 6. Data Management Officer II (20 Posts) ii) Data...
  4. TRA Tanzania

    TRA inawakumbusha walipa kodi kuwasilisha ritani na kufanya malipo ya kodi za zuio, PAYE na SDL kwa mwezi Januari 2025

    Mamlaka ya mapato Tanzania inawakumbusha walipa kodi kuwasilisha ritani na kufanya malipo ya kodi ya zuio, PAYE na SDL kwa mwezi Januari 2025 kabla au mnamo Februari 7, 2025.
Back
Top Bottom