tra na kodi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Rais Samia: Kuanzia mwaka kesho tuzo za walipa kodi hazitakuwa chini ya TRA, zitakuwa ni tuzo za Rais

    Wakuu, Akiwa anazungumza leo kwenye hafla ya utoaji tuzo, Rais Samia ametangaza kwamba kwanzia mwaka kesho tuzo hizo hazitakuwa chini ya TRA lakini zitakuwa chini ya Rais. Rais Samia amesema kuwa lengo la kufanya hivyo ni kuzipa tuzo hizo hadhi kubwa zaidi
  2. Roving Journalist

    Rais Samia ahudhuria hafla ya Utoaji Tuzo kwa Walipakodi. Atoa rai kwa wafanyabiashara kulipa kodi na kuahidi maboresho kwenye tuzo hizo

    Wakuu, Rais Samia ashiriki halfa ya Utoaji Tuzo kwa Walipakodi wa Bora kwa Mwaka 2023/2024 leo Januari 23, 2025. https://www.youtube.com/live/TG_FM-Bmau4?si=bv6zVfSuMokVe-uk RAIS SAMIA Akizungumza leo katika hafla ya utoaji wa tuzo, Rais Samia ametangaza kwamba kuanzia mwaka ujao, tuzo hizo...
  3. Jidu La Mabambasi

    Hapa kuiangalia sheria ya kodi na kanuni zake, Rais Samia umepiga bull

    Kama mtu umefanya biashara nchi hii utagundua kwamba aliyetunga sheria zingine za kodi hajawahi hata kuuza karanga. Sheria za kodi na kanuni zake zimelalamikiwa kwa miaka nenda rudi, huku TRA wakisema hawahusiki na sheria hizo na wanawakandika wafanyabisahra kama zilivyoandikwa, liwalo naliwe...
  4. ChoiceVariable

    Yusuph Mwenda: Kati ya watanzania Milioni 62, wanaolipa kodi ni Milioni 2 tu

    Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda amesema Tanzania yenye idadi ya watu zaidi ya milioni 60 lakini walipa kodi hawazidi watu milioni 2 jambo ambalo linasababisha watu hao wachache wanaolipa kodi kulazimika kubeba mzigo mkubwa na hivyo wakati mwingine kusababisha...
  5. Manyanza

    Aliyoyaandika Boniface Jacob: Siri na sababu ya mgomo kuendelea Kariakoo

    1. Malumbano kati ya Waziri wa fedha na Kamishina wa Mapato TRA Msimamo wa Kamishina kuhusu kero za wafanyabiashara ni kutekeleza sheria wala siyo maagizo ya wanasiasa wa ngazi yoyote. Kamishina TRA amewaambia Wafanyabiashara mara kadhaa mkitaka tuache kufanya kazi ambazo nyie...
Back
Top Bottom