“A CALL TO ACTION FOR TAX DISPUTE RESOLUTION”
President Samia Suluhu Hassan has been steadfast in her commitment to economic growth and stability for Tanzania. During a recent event in Zanzibar, where new government appointees were sworn in, she emphasized the importance of enhancing government...
“A Lesson for Tanzania”
Introduction
Taxation plays a significant role in generating government revenue. In Tanzania, taxes fund essential services such as healthcare, education, and infrastructure. However, the efficiency and effectiveness of tax collection and utilization are often...
Hiyo ndio Taarifa ya sasa baada ya mgomo wa wafanyabiashara wa Kariakoo unaoendelea
=======
Waziri wa Viwanda na Biashara, Kitila Mkumbo amesema wamekutana na wafanyabiashara wa Kariakoo na kutoka sehemu nyingine Tanzania wakiongozwa na mwenyekiti wa wafanyabiashara Kariakoo, Majid Mbwana...
efd
finance bill
finance bill 2024
kitila mkumbo
mgomo kariakoo
muswada sheria ya fedha 2024
mwigulu nchemba
risiti za efd
tratratanzania
wizara ya fedha na mipango
wizara ya viwanda na biashara
In reviewing the Finance Bill 2024, published on June 18t, 2024, SARC Law Chambers would like to highlight our opinions and recommendations regarding certain proposed and non-proposed provisions within the Tax Revenue Appeals Act (CAP 408) and the Tax Administration Act (CAP 438).
1.0 Regarding...
atorney generals chambers
bunge tanzania
finance
finance bill 2024
ministry of finance
tanganyika law society
tanzania revenue authority
tanzania taxpayers association
tls
tratanzania
Utangulizi
Sekta ya utalii nchini Tanzania ina changia pato la taifa kwa asilimia kumi na saba (17%) na mapato ya fedha za kigeni kwa asilimia hamsini na tano (55%). Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2021/22 - 2025/26 (Juni 2021 uk. 103)
Kwa takwimu hizi, sekta ya utalii inaendelea...
Dar es Salaam, 07 Juni, 2024:
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), inapenda kuwafahamisha Walipakodi na wananchi kwa ujumla kuwa, ofisi za TRA nchi nzima zitakuwa wazi kuwahudumia walipakodi siku ya Jumamosi tarehe 08 Juni, 2024 na Jumapili tarehe 09 Juni, 2024 kuanzia saa 2:30 asubuhi hadi saa...
In Tanzania, there is a widespread misconception that about 5 million Tanzanians out of over 60 million citizens are taxpayers. However, this belief does not reflect the true nature of the Tanzanian tax system. A closer look reveals that nearly every citizen contributes to the nation's tax...
Kumekuwa na kero nyingi toka kwa TRA mkoa wa Iringa zinazooelekea migomo ya wafanyabiashara wa bidhaa mbalimbali na hata sisi wafanyabiashara wa mbao tuna mgomo.
Zifuatazo ni kero tunazokumbana nazo wafanyabiashara wa mkoa wa Iringa (Wilaya zote 3 za Mufindi, Kilolo na Iringa)
1...
“A Collaborative Approach in Tanzania's Tax Administration System”
In any thriving economy, the relationship between taxpayers and the government is paramount. It is not merely a transactional interaction but a partnership aimed at fostering economic growth, social development, and the overall...
Job Title: Deputy director research and fiscal policy advisory
Responsibilities
To coordinate development, review and implementation of research policy, guidelines, standards and procedures.
To supervise planning and execution of research functions.
To supervise preparation of annual forecast...
Tangazo:
Habari za leo wateja wetu wapendwa,
Tunapenda kuwatangazia huduma zetu za ushauri wa kodi. Kama mmiliki wa biashara au mtu binafsi, tunaelewa ugumu wa kuendesha shughuli zako za kila siku na wakati huo huo kukidhi mahitaji ya kodi. Hapa ndipo tunapokuja na kusaidia kufanya maisha yako...
Karibu kwenye huduma ya Tax Consultancy! Tunatoa huduma za ushauri wa kodi kwa wafanyabiashara, watu binafsi na mashirika ya umma katika kuhakikisha kwamba wanatimiza majukumu yao ya kodi kwa ufanisi na ufanisi.
Timu yetu ya wataalam wa kodi wana uzoefu wa miaka mingi katika uwanja wa ushauri...
Habari Wana JF.
TRA Tanzania naomba ufafanuzi kwanini mfanyabiashara ambaye hayuko VAT akiuza bidhaa Kodi yake haikatwi kwenye faida badala yake anakatwa katika mtaji na faida kitu ambacho Kodi inakuwa kubwa ambayo inaelekea pengine wengi hukwepa Kodi(yaani kutoprint risiti za EFD)
Mtu...
sasa bandiko kama hili linajibu swali la bwana yule mliyemtoza mamlioni kwa pampas na viguo vya mtoto. Hamuwezi kutumia mifano rahisi kuwafanya wananchi waelewe?
Mfano shida ya watanzania wengi iko hapa;
Mtu kanunua gari kwa dola 1000 sawa na TZS 2,270,000 inakuwaje anaishia kulipa TZS...
MWANAHABARI nguli na anayeheshimika nchini Tanzania, Pascal Mayala amelitupia lawama Bunge la Tanzania kwa kupitisha baadhi ya mambo ambayo kuna wakati yanampa huzuni na hasira kubwa.
"Kuna baadhi ya mambo ambayo Bunge letu limefanya ni mambo ndivyo sivyo,hakuna anayejua mambo haya ni ndivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.