Jeshi la Polisi Tanzania, liliagizwa na Makamu wa Rais Hon Philip Mpango kuhakikisha wanavaa kamera ambazo zitaonyesha vitendo vyao vyote wawapo barabarani, hapa namaanisha Traffick mnamo 11-5-2024.
Traffick wamekuwa wakilalamikiwa sana, japo ni kama wanaonewa maana kwanza wanavaa nguo nyeupe...