trafiki wadakwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Doto12

    Tukio la fedheha kwa maafisa wa jeshi la polisi usalama barabarani ni matokeo ya ugonjwa wa rushwa inayoratibiwa na serikali yenyewe

    Habari zenu wana JF Niliwahi kuandika juu ya suala ya usafirishaji kwenye majiji yetu yote. Nilikwenda mbali zaidi kwamba inafika wakati sio bisahara tena bali ni huduma. Serikali yetu inazorotesha maendeleo ya kiuchumi kwa mtu mmoja mmoja na nchi kwa ujumla kwa kung'ang'ania hizi daladala...
  2. S

    Kamanda Muliro, wewe na watu wote wanajua Polisi wawili uliowasimamisha kazi unawaonea, walichofanya ni utaratibu wa siku nyingi wa traffic polisi!

    Kamanda Jumanne Muliro, tuache unafiki, tuache kuoneana. Unatutangazia kuwasimamisha hawa Polisi wawili walioonekana wakichukua fedha kwa makondakta wa dadadala kwa sababu wamefanya kosa au kwa sababu wameanikwa mitandaoni? Ina maana hujui kwamba kila siku traffic wanaokuwa barabarani wanafanya...
  3. Twilumba

    Hapa ni wapi? Trafiki wadakwa kwenye video wakichukua Rushwa mara kadhaa

    Hapa ni wapi, hawa wanajulikana, Kamanda Mulilo, IGP Wambura hapana naona mtaharakisha kutoa press Release kama vile mwafanyaga kwenye matukio mengine. Zaidi kongole kwa camera man wa kujitegemea. Updates: Polisi yachukua hatua, yalaani vikali kitendo hicho
Back
Top Bottom