train

  1. Go Bus

    India set to launch its first hydrogen-powered train this month

    India set to launch its first hydrogen-powered train this month Read more at: India set to launch its first hydrogen-powered train this month - ET EnergyWorld
  2. Meneja Wa Makampuni

    Jinsi ya Kuzalisha umeme wa upepo na umeme wa jua kwa kutumia Treni ikiwa kwenye mwendo wa kasi

    Jinsi ya Kuzalisha Umeme wa Upepo na Umeme wa Jua kwa Kutumia Treni Ikiwa Kwenye Mwendo wa Kasi Kutumia treni za mwendo wa kasi kuzalisha umeme wa upepo na umeme wa jua ni wazo la kiubunifu linalolenga kukuza matumizi ya nishati safi na endelevu. Treni hizi, kama vile zile za SGR, zinaweza...
  3. Mpigania uhuru wa pili

    Unatumia usd billion 7+ kujenga mradi wa train ya umeme halafu unampa mtu amabye hana uzoefu wowote wa kusimamia hiki ni kichekesho

    Ukituatilia mambo mengi ya serikali yaavyoendeshwa utakubaliana na mimi hii nchi mambo mengi yanaendeshwa kimchongo Watu walioko serikalini hawana uwezo wa kufikiria miaka 3 mbele itakuaje maamuzi yao mengi ni watapata nini wakati huu ni mwendo wa shortcut Mfano TRC wanataka kununua engine za...
  4. Upekuzi101

    Eti Train ya Umeme kununuliwa engine za Diesel ⛽

    Tunaposema Tanzania inahitaji viongozi wenye maono,malengo na uzalendo wa kweli tunamaanisha. Ni juzi tu train ya umeme imeanza kazi huku Stigler gorge ikiwa imeanza kuchangia kiasi cha megawatt kwenye gridi ya taifa ila cha kushangaza na kitia huzuni ni kwamba badala ya kuwa na mkakati mahususi...
  5. M

    KERO Serikali, mna mpango gani na Usafiri wa Treni? Mnatuwekea siku maalum ya kukata tiketi, halafu tukifika kukata, mnasema nafasi zimeisha?

    Wana JF mmelala? Jamani hivi hizi train zipo kwaajiri Gani? Ukiachana na SGR Kuna Train inaitwa Deluxe, watu WA kigoma mwanza Tabora mtakuwa mnanielewa. Hii Train inaelekea mkoani kutoka dares salaam, mara Moja Kwa week, ambayo ni Alhamis. Na nauli Huwa ni elfu 36 third class na elfu 48 second...
  6. R

    Naomba msaada wenu juu ya safari ya train kutoka mbeya kwenda Dar es Salaam

    Habari wakuu naomba msaada wenu kuhusu safari za train kutoka mbeya kwenda Dar es Salaa. Ni lini inatoka mbeya kwenda DSM. Zote zikiwemo express na ordinary. Mbeya linaondoka siku gani? Msaada please.
  7. Mhafidhina07

    Je, kuna sera madhubuti za kuilinda SGR na Rapid trani?

    Serikali imejiandaa vipi dhidi ya wahujumu uchumi na mali za shirika la reli Tanzania? Kama tunavyojua treni zinaweza kuwa mbadala mkubwa wa mabasi ya mikoani DAR TO MORO na wamiliki wa mabasi hawatokuwa nyuma kuhujumi uchumi wa shirika. walamsiki
  8. green rajab

    Russia imelipua train ikiwa na zana kivita za NATO

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Jeshi la Urusi limepiga na kuiteketeza train kwa kombora la Iskender ikiwa na zana za Kivita za NATO zikiwa safarini kwa ajili ya kusaidia wanamgambo wa Ukraine ⚡️🇷🇺Russian forces destroy a Ukrainian train full of equipment by Iskander OTRK in Zaporozhye region. According to Russian...
  9. Abdull Kazi

    India, Bangladesh Announce New Train, Bus Services During PM Sheikh Hasina's Visit

    New Delhi Prime Minister Narendra Modi and his Bangladesh counterpart Sheikh Hasina on Saturday articulated their shared vision for peace, prosperity and development of the two neighbours and the entire region driven by connectivity, commerce and collaboration Significant agreements...
  10. Mzee Mwanakijiji

    SoC04 A Concept Paper on the Establishment of Medical Train Services in Tanzania by 2027

    M. M. Mwanakijiji UANZISHAJI WA TRENI YA KITABIBU IFIKAPO 2027 Introduction: Tanzania, like many developing countries, faces significant challenges in providing adequate healthcare services to its population, particularly in remote and inaccessible areas. In response to this need, we propose...
  11. D

    Train letu aerodynamic zinakataa kufika 200 KM/HR . According to Scientific Research of why the body should be streamline to archive speed and balance

    Hakika! Hebu tujadili ulimwengu wa treni zenye umbo la kubana na kwa nini ni muhimu kwa kufikia kasi kubwa kama vile 200 km/saa. ## Treni Zenye Umbo la Kubana: Umuhimu wa Kasi ### 1. Umuhimu wa Aerodynamics Treni zenye umbo la kubana, au "streamliners," zinabuniwa na umbo lenye mvuto. Hapa...
  12. Abou Shaymaa

    Basi Kampuni ya Baraka kutoka Newala - Dar lapata ajali na kusababisha vifo 14

    Wakuu mwenye taarifa kamili atujuze maan kuna ndugu yetu tumepewa taarifa kafariki alikuwa humo, Innalillah wainna ilayhi raajiu'uun ===== Watu 14 wamefariki dunia na wengine 26 wakijeruhiwa katika ajali iyohusisha basi la Kampuni ya Baraka Classic, yenye namba za usajili T 336 DPW, inayofanya...
  13. Venus Star

    Je wajua? 60% ya High-Speed train duniani zipo China

    BWANA WETU YESU KRISTO ASIFIWE. Ninaendelea kutoa taarifa za kiuchunguzi za kina kuhusu dunia yetu hii. Kwa muda wa wiki mbili nilikuwa katika utafiti kuhusu High-Speed Train. High-Speed Train ni nini? Hii ni train inayokimbia kwa mwendo wa kuanzia 200 km/h (124 mph). Train ikiwa na mwendo huu...
  14. Mganguzi

    Hayati Magufuli angekuwepo SGR Dar-Moro na Bwawa la Mwl. Nyerere vingekuwa vinafanya kazi

    Nawaza tu, endapo Magufuli angekuwepo leo; 1. Train ya umeme ingekuwa inapiga kazi usiku na mchana na serikali ingianza kuingiza pesa za kutosha. 2. Bwawa la Mwl. Nyerere lingeanza kuzalisha umeme wa kutosha na leo hii stori za kukatika umeme zisingekuwepo. 3. Kalemani angekuwa Waziri wa...
  15. N

    SoC03 Treni ya mizimu

    Moja kati ya visa ambavyo bado vinaumiza vichwa vya watu mpaka leo hii ni kisa cha Treni Moja ya Kampuni ya Zannetti. Treni ambayo inadaiwa kupotea miaka ya 1800’s na imekuwa ikionekana kwa baadhi ya vipindi vya miaka, huku mara ya kwanza Ikionekana miaka takriban 60 baada ya...
  16. Chizi Maarifa

    Daladala lenye safari ya kwenda Kigamboni limegonga Train hapa Kariakoo

    Daladala lenye safari ya kwenda Kigamboni limegonga Train hapa Kariakoo. Hali bado si nzuri. Uchunguzi wa Majeruhi au Vifo unaendelea. Ila wengi wapo katika hali ambazo si salama.
  17. Upekuzi101

    Huduma ya Train Dar - Arusha ni fedhea

    Habari wana Jf Kuna changamoto kadhaa kwenye tren zetu za Dar to Arusha/ Arusha to Dar la kuhusu huduma kwa ujumla hususani kwa watalii ambao wanatumia huu usafiri ni la kulifanyia kazi haswa ukizingatia Kwa sasa wazungu /watalii wengi wanapanda hizi tren kama sehemu ya utalii au budget...
  18. M

    How to train your mind to think like a Millionaire

    Has it occurred to you that, in order to become wealthy, you need to develop a specific mindset towards wealth? Being rich and being wealthy are two different things. Becoming wealthy requires hard work and special skills. If you want to achieve financial security and build a healthy financial...
  19. Tareq20

    Tumuelewe nani sasa Kati ya hawa wawili kuhusu mabehewa ya treni

    Hanganya anasema ni used huyu anasema ni mapya
  20. ROOM 47

    Kero: TRC kitengo chenu cha IT kinasumbua wasafiri wa train ya deluxe

    Kumekuwa na hali ya kushangaza sana kwa wasafiri wa train ya Deluxe kutoka Dsm to Kgm hasa kwa abiria ambao wanakata ticket kupitia website zao hii imejirudia zaid ya mara nne katika kupata ticket online yaani wanawafungia wateja wasipate ticket kwenye website zao mpaka uende kwa mawakala wao...
Back
Top Bottom