Serikali imefanya marekebisho kwa sheria ya Benki kuu.
Kuruhusu watu nje ya nchi kununua treasury bonds.
Hii ni hatari kwa uchumi wetu.
We are officially sold out.
Siku hizi kila mtu anakimbilia Treasury bonds. Hii kitu mie Napata wasiwasi sana. Unaikopesha serikali kutumia hela kwa miradi ya maendeleo ambayo sio ya kuingiza Faida, Mfano watu wakahitaji hela zao kwa Pamoja je wataweza kuzirudisha au ndio kama Mifuko ya hifadhi ya Jamii.
Hati fungani ni biashara "kichaa" na watu pekee ambao wanawekeza kwenye hii biashara ni wale waoga wakupoteza thamani ya mitaji ya pesa zao. Mabenki, mashirika ya bima, mifuko ya mafao pamoja na mashirika mengine bila shaka hutumia njia hii ya uwekezaji ili kutunza mitaji yao pengine ni kutokana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.