treni kukwama

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Shirika la Reli Tanzania (TRC) laomba radhi kutokana na kuchelewa kwa safari kulikosababishwa na changamoto zilizo nje ya uwezo wao

    Treni ya Mwendokasi inayofanya safari zake Dar es salaam - Dodoma, ilisimama kwa saa kadhaa maeneo ya Ngerengere usiku wa kuamkia leo September 10,2024 na baadhi abiria wakajirekodi video wakionesha kuwa wamesimama katika eneo hilo. Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeomba radhi kwa abiria...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…