Wakuu,
Taarifa kwa umma,
Shirika la reli tanzania (trc) linaomba radhi kwa abiria wa treni ya mchongoko (emu) walioanza safari yao dar es salaam kwenda dodoma saa 2:00 asubuhi na kusimama ghafla majira ya saa 2:20 kati ya pugu na soga.
Aidha, tunaomba radhi pia kwa abiria wetu wa treni ya...