trilioni 43

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Serikali inapanga kukusanya Tsh. Tril 31.03 na itatumia Tsh. Tril 43.3 mwaka 2023/24

    Serikali ya Tanzania katika mwaka 2023/24, inatarajia kukusanya na kutumia Sh43.3 trilioni ikilinganishwa na makadirio ya Sh41.5 trilioni kwa mwaka 2022/23, ikiwa ni ongezeko la asilimia 4.4. Hayo yamesemwa leo Jumatatu, Novemba 7, 2022 na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba wakati...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…