Kampuni ya Canal+ ya Ufransa inayomiliki vyombo vya habari, ambayo pia ni kampuni tanzu ya kampuni ya Vivendi SE, imetoa ofa mpya ya kuinunua MultiChoice, katika mkataba ambao utaitathmini kampuni hiyo kutoka Afrika Kusini kuwa thamani ya Dola Bilioni 2.9.
=======
French media company Canal+...