Trip hop (sometimes used synonymously with "downtempo") is a musical genre that originated in the early 1990s in the United Kingdom, especially Bristol. It has been described as "a fusion of hip hop and electronica until neither genre is recognizable", and may incorporate a range of styles, including funk, dub, soul, psychedelia, R&B, and house, as well as other forms of electronic music. Trip hop can be highly experimental.Deriving from later idioms of acid house, the term was first used by the British music media to describe the more experimental variant of breakbeat emerging from the Bristol sound scene in the early 1990s, which contained influences of soul, funk, and jazz. It was pioneered by acts like Massive Attack, Tricky, and Portishead. Trip hop achieved commercial success in the 1990s, and has been described as "Europe's alternative choice in the second half of the '90s".
Kama kuna mtu anahitaji dereva wa kukodi kwa trip au safari basi naomba anijulishe..ni udereva wa muda trip tu naamnisha ukiwa umechoka au unahitaji kuenda sehemu yoyote ila unahitaji kusaidiwa katika kuendesha gari basi unaweza kunitaarifu.
MUHIMU.
Ninafanya part time jobs za udereva malipo ni...
Salam wadau.
Naomba kufaham Shirika la ndege lenye bei nafuu kwa trip ya Dar es Salaam kwenda Dubai. Shirika hilo likiwa na huduma ya VISA itapendeza zaidi.
Naomba kuwasilisha wadau
Hawa Wachina wamevurugwa.
Changan Auto wamekuja na Nevo E07 ambayo ni shapeshifter kama kwenye movie, ikimaanisha inaweza kua SUV na ukiamua kwa button moja tu inageuka inakua Pickup truck.
Hii chuma inakuja na options mbili, either full electric vehicle (EV) au range extender electric...
Habari wakuu.
Kwa wakazi na wenyeji wa Iringa, naomba kufahamishwa vivutio au sehemu ambazo zinavutia nje ya mji ambazo itakuwa day trip...namaanisha nitakwenda na kurudi kulala mjini.
Ninatanguliza shukrani.
Glenn
Poleni kwa hustling and bustling za mjini Dar.
Kuna hii "day trip" ya kwenda Bagamoyo unaweza kwenda na kujifunza vitu mbalimbali. Sio mbali sana, ni kilometa 70 kasoro kutokea Ubungo, na unaweza kwenda kwa usafiri wako (karibia masaa mawili kutokea Ubungo) au ukaenda kwa usafiri wa umma...
Dah leo nimekumbuka mbali sana. Mwaka 1997 nipo darasa la sita B shule ya Msingi jina kapuni.
Nilikuwa napenda sana somo la kiingereza. Mwalimu mkuu wa shule yetu ya Msingi ambayo of course ni shule ya Kayumba hizi Kayumba kongwe zenye kufundisha kwa kiswahili alinibatiza jina na kuniita "...
Salam wakuu.
Hii special kwa wakazi wa Dar na Pwani.
Najua mnakuaga busy sana, sana na kuna muda mnakosa ata muda wa kupumzisha akili na mwili, sababu ya muda na kipato kwa wengine.
Kuna hii Hiking Day trip ya kwenda Morogoro na kurudi, unaweza have some fun na uka relax sana mwili na akili...
Tangia Rais Samia aanze Uraisi ni zaidi ya mwaka sasa, lkn mpaka leo hii hajawahi kufanya ziara maalumu ya kiserikali nchini Uingereza, najua mtakuja na majibu ya sijui Ukoloni, lkn msisahahu mlisema mnafungua nchi na ninyi siyo Kisiwa na kwamba ni sehemu ya English empire au Commonwealth wakati...
Ni matumaini hatujambo sote,
kama heading ilivyo nimefunga single phase 2kva Automatic Voltage Stabilizer ili ku protect submersible water pump 1hp (750w) lakini imeshindwa kubeba ku trip off...
Ukiondoa hiyo AVR pump inafanya vizuri tu
Na hiyo AVR kwenye shughuli zingine km...
Sh13.7 million private jet trip to Kenya
FRIDAY AUGUST 27 2021
Tourism Secretary Najib Balala (left) with guests at the Maasai Mara. PHOTO | POOL
The super-wealthy are seeking new travel experiences in Maasai Mara, Laikipia and Samburu, following an Emirates private jet deal, a trend that is...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.