Hello Jamii Forums,
Naombeni support, nifikishe walau Views 500 kwa project yangu ya hivi karibuni, na walau Subscribers 100. Mimi Ni Producer/Songwriter na kwenye nyimbo zangu najaribu mix elements za Afro-Beats, Dancehall, EDM na Bongo Fleva kwenye sound moja.
Hii ndio most recent project...
Hello JF especially wadau wa muziki. Here's my new track; inastahili marks ngapi kati ya hizo kumi?
Elements zipi niziadapt/nizibadili/niziongeze kwenye mix zijazo?
Natumia Fl Studio + Ableton Live.
Kuhusu style ya mziki, bado siko sure hii ni aina gani, but the whole idea ni kuunda...
Hello, JamiiForums.
So nimejaribu kuunda Remix ya hii nyimbo yangu pendwa kwa 2023, Mshindi yake Appy.
Please Enjoy ✌🏾
Maoni pia yanakaribishwa.
https://youtu.be/01_m_sADtbA?si=vc0G7z02l3zm32SP
Hello JamiiForums,
Hii itakua thread yangu ya pili humu Jukwaani toka nijiunge kama member June, 2020. Mimi ni Producer, Composer & Songwriter. Ndani ya miaka mitatu nimekua nikijaribu kuendeleza craft yangu kiujumla na ningependa muweze kuipitia na kunipea genuine feedback, your support and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.