Mtu mmoja aliyekuwa na silaha amesababisha maafisa wa usalama wa Donald Trump kupiga risasi
Hata hivo walinzi maalumu wa Trump walijibizana Kwa Risasi, haijafahamika mpaka Sasa ikiwa Wamemuua Mdunguaji huyo!!.
Soma Pia:
Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa...
Serikali ya Iran imekanusha madai ya Idara za Usalama za Marekani kuwa nchi hiyo ilihusika na jaribio la mauaji dhidi ya Rais wa zamani na Mgombea Urais wa Republican, Donald Trump ambaye alinusurika katika shambulio la risasi iliyomjeruhi Sikio Julai 13, 2024.
Inaelezwa kuhusishwa kwa Iran...
Baada ya kushindwa kujisafisha sasa wameamua kuisingizia Iran kuwa ndo inataka kumuua Trump
[emoji631][emoji1130]#BREAKING: The US Received Intel of an Iranian Plot to Assassinate Donald Trump - CNN
This intel was allegedly obtained WEEKS before Thomas Matthew Crooks' attempted assassination...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.