trump ashinda

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. I

    Trump aiambia Russia ichague mazungumzo na Ukraine au vikwazo zaidi hadi ifilisike kabisa

    Rais wa Marekani, Donald Trump, amemwonya Rais wa Urusi, Vladimir Putin, kumaliza "vita vya kipuuzi" nchini Ukraine au akabiliwe na ushuru mkubwa na vikwazo zaidi. Kupitia jukwaa lake la Truth Social Jumatano, Trump alisema ana uhusiano mzuri na Putin lakini akasisitiza kuwa ni wakati wa...
  2. U

    Rais mteule Donald Trump awasili Ikulu ya White House na kukutana na Rais Biden, ni sehemu ya mchakato wa kukabidhiana madaraka

    Wadau hamjamboni nyote? Kichwa cha habari chahusika hapo juu Kila la kheri ndugu zetu Marekani ---- Welcome back': Biden greets Trump at the White House Two men have criticized each other for years, hold different policy positions Trump's team yet to sign agreements for transition, causing...
  3. Nehemia Kilave

    USA wana Demokrasia yao ambayo inabebwa na akili kubwa zilizopo kwenye mifumo muhimu ya Taifa

    Ni kwamba mifumo inavipa nguvu vyama vichache ili kurahisisha vetting, mifumo inachagua yupi atafaa zaidi kuongoza taifa, hii ni Demokrasia ya aina yao. Kwa kifupi ni kwamba mifumo ya kiusalama ipo kwa ajili ya Taifa sio Chama na tusitegemee kuona civil war USA labda baadae sanaa.
  4. kimsboy

    Ushindi wa Trump ni pigo kubwa kwa CCM

    CCM walikua wakimpigia kampeni Kamala Walijua kabisa akishinda watapata nguvu ya kuaminisha umma 2025. Kwasababu ya historia ya kamala alikua makamu kama mama yao. Kwahyo nao wangetembelea huo upepo kwamba US imewezekana basi na huku 255 inawezekana Listen Guys, tunapaswa tumkatae huyu bibi...
  5. britanicca

    Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%

    Imetangazwa dakika chache zilizopita na vyombo vya Habari ===== UPDATES: ===== Rais wa zamani Donald Trump kutoka chama cha Republican, ameshinda Uchaguzi wa Marekani. Chanzo: Spectator Index Donald Trump ameoa mara tatu, Ivana na Marla Maples, mke wa kwanza na wa pili mtawalia ambao wote...
Back
Top Bottom