trump asitisha misaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. uzio usio onekana

    Trump asitisha misaada yote ya kijeshi ya Marekani kwa Ukraine

    Rais Donald Trump ameagiza kusitishwa kwa usafirishaji wa msaada wa kijeshi wa Marekani kwa Ukraine baada ya mvutano mkali kati yake na Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, wiki iliyopita katika Ikulu ya White House, afisa wa Ikulu ameiambia CNN Jumatatu. Hatua hii, iliyokuja baada ya Trump...
  2. Cute Wife

    Wizara ya Afya: ARV zipo za kutosha

    Wakuu, Wizara ya Afya imewatoa wasiwasi Watanzania juu ya uvumi uliokuwa ukiendelea kuhusu uhaba wa ARV kutokana na maamuzi yaliyochukuliwa na Rais Trump hivi karibuni ya kusitisha misaada kwa siku 90 kupitia shirika lake la USAID. Pia soma...
  3. Mindyou

    Ukitaka kujua ufisadi wa CCM angalia kiasi hiki walichotoa USAID mwaka 2023. Kwanini bado tunalipia huduma za afya?

    Wakuu, Wakati napita pita zangu mitandaoni nimkeutana na hili bandiko linaloonesha kiasi cha pesa ambacho Marekani iliipa Tanzania mwaka 2023 kama msaada. Inawezekanaje kwamba tulipewa msaada wa USD Milion 512 ndani ya mwaka mmoja kwenye sekta ya afya pekee alafu bado wagonjwa wanalala chini...
  4. Jackal

    Trump asitisha misaada kwa Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa linalosaidia Wapalestina "UNRWA" sababu ya kushirikiana na magaidi wa Hamas

    Reports have repeatedly surfaced of Hamas weapons caches being discovered in UNRWA schools and facilities, as well as tunnels dug beneath its buildings. By Jewish Breaking News President Donald Trump has officially signed an executive order withdrawing the United States from the UN Human...
  5. J

    Pre GE2025 Shigongo amuomba Rais Trump wa Marekani asiifutie Misaada Tanzania kwani miradi mingi itakufa na Watu Wengi watapoteza Ajira!

    Eric Shigongo amemshauri Rais wa Marekani, Donald Trump kusitisha uamuzi wake wa kuzuia misaada kwa nchi za Afrika, kwa sababu akifanya hivyo Waafrika wengi watapoteza maisha. Akiwa nchini Marekani kikazi, Shigongo amesema misaada ya Marekani kwa nchi za Kiafrika, inasaidia kwa kiasi kikubwa...
  6. Mindyou

    VIdeo: Wabunge wa Marekani waandamana hadi mbele ya jengo la USAID wakitaka misaada irudishwe haraka, wataka Elon adhibitiwe!

    Wakuu, Huko nchini Marekani, viongozi na baadhi ya wabunge wameandamana nje ya jengo la USAID wakitaka shirika hilo lirudishwe na misaada irudi haraka sana. Jamii Raskin ambaye ni mbunge kutoka jimbo la Maryland aliongozana na wabunge wengine wakitaka shirika hilo LIRUDISHWE na Elon Musk...
  7. Mindyou

    CHADEMA yatoa mapendekezo makubwa matatu kwa Serikali ya Tanzania ili kukabili uamuzi wa Trump wa kusitisha misaada

    CHADEMA imetoa mapendekezo matatu kwa serikali kufuatia uamuzi wa Rais wa Marekani,Donald Trump kusitisha misaada kwa sekta ya afya. Mwenyekiti wa Kamati ya Afya na Maendeleo ya Jamii ya Bunge la Wananchi CHADEMA, Ashura Masoud, lazima hatua zifuatazo zichukuliwe kukabili mabadiliko hayo. 1...
  8. Carlos The Jackal

    DOKEZO Wizara ya Afya Ingieni kazini. Kuna wahuni wanatengeneza janga la lazima, ARV zitaanza kuuzwa muda Si mrefu!

    Usalama wa Taifa ni pamoja na Utulivu wa Raia wake. Kiukweli kabisa Huwa Nashangaa hii Nchi yetu vipi? Trump kajitoa WHO, taarifa na vumi mbalimbali kuhusiana na upatikanaji wa ARVs zinazunguka kwenye mitandao ya kijamii kila kukicha, lakini HUSIKII serikali ikichukua hatua kuongea na vyombo...
  9. Mindyou

    Trump kusimamisha misaada duniani ni kosa kubwa la kiufundi. Ni muda wa China na Urusi kuja kutufariji Waafrika

    Kuna maamuzi ambayo bwana Trump anafanya anakuwa kama kachanganyikiwa na haelewi Geopolitics zilivyo. Kwanini nasema hivyo? Hivi karibuni katangaza Marekani kusitisha misaada kwenye nchi zote duniani isipokuwa Israel na Egypt. Kwa mtu yeyote mwenye akili timamu atajua kwamba, the only reason...
Back
Top Bottom