Mgombea Urais wa Marekani Donald Trump amesema siku ya Jumatano kwamba Makamu wa Rais Kamala Harris ameamua "kugeuka mtu mweusi" kwa manufaa ya kisiasa katika kile kilichoonekana kama kumshambulia mpinzani wake huyo kutoka Chama cha Democratic
Wakati akizungumza na waandishi wa habari wa...