Huko Marekani nako raia wategemezi wa msaada na viongozi wao Democrats wanapiga ukunga msaada wa serikali kuu ya Marekani kusitishwa. Waliothirika ni pamoja na sekta ya afya, shule za umma na wanajeshi veterans.
Inasemwa amri ya Trump kuzuia misaada imeleta mkanganyiko ndani ya Marekani kwa...