Baada ya ombi la kiongozi mkuu wa kanisa katoliki duniani Papa Francis kwa serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani kulegeza sera yake dhidi ya wahamiaji haramu kwamba utekelezwaji wake unawakandamiza wahamiaji haramu waliokimbia umasikini na machafuko kwenye mataifa yao, mshauri wa masuala ya...