tuhuma watu kutekwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tulimsingizia na kumhukumu Hayati Magufuli juu ya utekaji, Je leo tutamsingizia nani? Magufuli hayupo

    Msaidizi wa Mwenyekiti Mbowe,alivyopotea Tulimsingizia Magufuli kamteka eti kwa madai msaidizi wa Mbowe alikuwa anapinga PhD ya Magufuli, Leo kapotea Msaidizi wa katibu Mkuu Mnyika,Je tutamsingizia nani wakati Magufuli hayupo!? Soma Pia: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio...
  2. Kutumia mabavu ili upendwe au utawale ni ugonjwa wa akili

    Tabia za kidikteta zimeanza kuwaingia viongozi wanaovaa ngozi za kondoo kumbe mioyo yao imejaa uroho wa madaraka na upunguani wa akili. Watanzania hawakuzoea kusikia au kupitia huu upumbavu unaoendelea haya mambo aliyafanya Iddi Amin Dada miaka ya 70 kipindi anatawala Uganda kimabavu sasa Dunia...
  3. Pre GE2025 Godbless Lema aulizia namna mtu aliyetekwa anavyoweza kumthibitishia Jaji kwamba ni kweli katekwa

    Nabii wa Mungu Godbless Lema amehoji namna ambayo Mtu aliyetekwa anavyoweza kukurupuka kutoka mikononi mwa Watekaji ili kuja Mahakamani kumthibitishia Jaji wa Mahakama ya Tanzania kwamba ni kweli katekwa, ili Jaji huyo awaamuru Watekaji wamuachie. Hoja hii kabambe ya Nabii huyo wa Mungu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…