Nilitarajia Chuo Kikuu cha SAUT ambacho kimetajwa sana katika mitandao kuhusu tukio la mmoja wa wanachuo, walau kiseme kaneno kamoja kuhusu jamii inayoishi hapo na maadili.
Labda pengine kitendo kilichofanywa ni cha kawaida kwa wanafunzi wao. Wazazi wenye watoto hapo SAUT roho ziko juu juu...
Jeshi la polisi limemkamata aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Yahaya Nawanda (46) kwa tuhuma za kumwingilia kinyume na maumbile mwanafunzi wa chuo ambaye jina lake limehifadhiwa.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Mwanza leo, Juni 13, 2024 Naibu Kamishina wa Polisi na Kamanda wa Polisi...
Dr. Yahaya Ismail Nawanda (46), Former Simiyu RC, the alleged perpetrator of anal rape against the SAUT female student called Tumsime Mathias Ngemela
Ms. Tumsime Mathias Ngemela(21), the victim of alleged anal rape in Mwanza, on 02 June 2024.
I. Abstract
Dr. Yahaya Ismail Nawanda (46), the...
Viongozi wawili yani RC na DED makosa yao yanafanana kabisa. Miezi mitatu imepita sasa tangu DED Mafia kutuhumiwa. Hatua hazijachukuliwa mpaka leo zaidi ya kutumbuliwa.
RC jana katumbuliwa, ndiyo imeisha? Aliyekuwa DC Hai alihukumiwa kwa unyang'anyi na inadaiwa alikata Rufaa na anatumikia...
Mwanza/Dar. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linaendelea na uchunguzi juu ya tukio la kigogo mmoja wa juu ngazi ya mkoa wa kanda ya ziwa, kutuhumiwa kumlawiti mwanafunzi wa chuo kikuu jijini Mwanza ndani ya gari.
Uchunguzi umebaini jina la usajili wa namba ya simu iliyotajwa na mwanafunzi huyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.