Nimelipia malipo ya zuku kupitia airtel money 79,000/= na service charge wamechukua, malipo hayakufika palipokusudiwa, huduma ya zuku nimezimiwa, nimewasiliana na mhudumu wa airtel amenijibu short cut kuwa hela yapo iko hewani subiri masaa 36,sasa nakaaje muda wote huo bila huduma?
Na je hela...
Hii inavutia
Ni nani aliyebuni sheria tatu za msingi za COVID kutulinda?
1 - Kukaa mbali
2 - Usafi wa mikono
3 - Kutumia barakoa
Sheria hizi lilipewa taifa la Israeli miaka 3,500 iliyopita. Ulipata kufahamu? Kwa hiyo itafute katika Biblia!
1 - Kutoka 30: 18-21: 'Osha mikono yako ili usife'...
Hakuna mahali wala nchi ambapo chanjo ya corona ni lazima. Watu tunajiamulia. Kwangu mimi nimeifanya lazima. Ila mke Wangu na wanangu wao wanaona heri kupima Mara nyingi kwa kuwa hawana uhakika na hizi chanjo na matokeo yake. It’s a free decision.
Mwenyekiti wa CDM kafiwa majuzi na ndugu yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.