tujikinge

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. P

    Hawa wanatutumia sms tujikinge na matapeli mbona wao pia ni kama matapeli?

    Nimelipia malipo ya zuku kupitia airtel money 79,000/= na service charge wamechukua, malipo hayakufika palipokusudiwa, huduma ya zuku nimezimiwa, nimewasiliana na mhudumu wa airtel amenijibu short cut kuwa hela yapo iko hewani subiri masaa 36,sasa nakaaje muda wote huo bila huduma? Na je hela...
  2. Pdidy

    #COVID19 Nani aliyebuni sheria tatu za msingi za COVID kutulinda?

    Hii inavutia Ni nani aliyebuni sheria tatu za msingi za COVID kutulinda? 1 - Kukaa mbali 2 - Usafi wa mikono 3 - Kutumia barakoa Sheria hizi lilipewa taifa la Israeli miaka 3,500 iliyopita. Ulipata kufahamu? Kwa hiyo itafute katika Biblia! 1 - Kutoka 30: 18-21: 'Osha mikono yako ili usife'...
  3. U

    Mbowe, unataka tujikinge na Covid-19 au tufanye makongamano?

    Hakuna mahali wala nchi ambapo chanjo ya corona ni lazima. Watu tunajiamulia. Kwangu mimi nimeifanya lazima. Ila mke Wangu na wanangu wao wanaona heri kupima Mara nyingi kwa kuwa hawana uhakika na hizi chanjo na matokeo yake. It’s a free decision. Mwenyekiti wa CDM kafiwa majuzi na ndugu yake...
Back
Top Bottom