tukio la binti aliyebakwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. NALIA NGWENA

    Makundi haya hayajatoa tamko lolote la kulaani na kukemea tukio la binti aliyebakwa na kuingiliwa kinyume na maumbile

    Kwanza nitoe pongezi kwa chombo cha habari cha Wasafi media kipindi kinachoendeshwa na Zembwela, Maulid kitenge (mshambuliaji) na Gerald Hando, kwa kweli kila nikifungulia redio kwenye hiki kipindi na kutana na wazee wa minyama wakikumbusha na kulitaka jeshi la polisi lijitokeze hadharani kuwapa...
  2. chinatown

    Embu Watanzania tuache Siasa kwenye mambo ya msingi

    Sijajua kwa nini Jeshi la Polisi limechelewa hivi kutoa taarifa kwenye tukio la kinyama lililofanywa na Watanzania wanaume wanne dhidi ya mdada mdogo wa Kitanzania. Ukisikiliza ile video anaongea victim kuwa amefanyiwa vile kwa sababu ya kutembea na mume wa mtu. Sasa kunashindikana vipi...
  3. J

    Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa na wanaume watatu

    Jeshi la Polisi limesema limeona taarifa na clip kwenye mitandao ya Kijamii ya Mwanamke anayebakwa na Wanaume Watatu kwa wakati mmoja Jeshi la Polisi limesema linafuatilia tukio hilo la kinyama na kuwataka Wananchi wenye taarifa za kufanikisha Watu hawa Kukamatwa mara Moja waziwasilishe polisi...
Back
Top Bottom