Mwanzo naona alianza vizuri ila kadri siku zinavyoenda anaanza kuboronga sana.
Mama hayupo makini kuteua wasaidizi wake, either hana washauri au ni yeye tu hajui tena afanyaje.
Ukikosea Mara ya kwanza tunasema bahati mbaya, ukikosea mara ya pili jambo lile lile tunasema umeteleza ila ukikosea...