tulia akson

Tulia Ackson (born 23 November 1976) is the Speaker of the National Assembly of Tanzania, in office since 2022. She was appointed as a Member of Parliament by President John Magufuli. On the 27th October 2023, she was elected the President of the Inter-Parliamentary Union (IPU) through the meeting convened at Luanda Angola were she passed other contestants by a great margin.

View More On Wikipedia.org
  1. The Watchman

    Pre GE2025 Mbunge wa Mbeya mjini Tulia Akson agawa Bima za Afya kwa Wananchi 9000

    Ikiwa ni msimu wa sita kwa Taasisi ya Tulia Trust inayoongozwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Mbeya mjini Dkt. Tulia Akson kugawa bima na mahitaji muhimu kwa kaya 1500 sawa na wazee 9000 wa Jiji la Mbeya, Dr Tulia amewataka wenyeviti wa mitaa ya Halmashauri ya...
  2. Mindyou

    LGE2024 Mbona Tulia Ackson kaanza kampeni mapema hivi? Azindua ofisi ya Chama cha Madereva na Wamiliki wa Bajaji Mbeya Mjini

    Wakuu, Hivi hizi kampeni zinazofanyika sasa si ni kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa? Au ni kampeni za Uchaguzi Mkuu? Kwa sababu naona kama Tulia ame-lobby hii process na amefanya hii kampeni yote kumuhusu yeye. Na hii benki iliyompa Tulia hizi bajaji nane kwa ajili ya Tulia Trust, mna...
  3. Stephano Mgendanyi

    MP Mpembenwe: Happy Birthday Hon. Speaker, Madame, Dr. Tulia Akson Mwansasu!

    Happy Birthday Hon. Speaker, Madame, Dr. Tulia Akson Mwansasu! I am reverently writing you a birthday wish, my Heart is overflowing with emotional goose bumps of gratitude! Dear Madame speaker and president of IPU! You’re the most loving, caring, enduring, encouraging, forgiving, considerate...
  4. Morning_star

    Hapa! Nimemkubali Tulia Akson! Mkuu wa mabunge yote duniani kutoka Tanzania

  5. B

    Spika wa Bunge la Tanzania Tulia Akson Mwansasu bado haamini kama Polisi Tanzania wanahusika na utekaji na mauaji ya Wanachi

    Akiongea na na Watangazaji wa kipindi cha asubuhi Good Morning cha Wasafi radio Septemba 27, 2024 Spika wa Bunge la Tanzania Dkt. Tulia Akson Mwansasu ameshangaa Jeshi la Polisi kuhusishwa na utekaji na mauaji ya raia wema Hivi karibuni vijana watatu wa chama cha demokrasia na maendeleo...
  6. Waufukweni

    James Mbowe: Bunge la Tulia ni Dhaifu na Halina Ubinadamu

    Mwanachama wa CHADEMA, James Mbowe, amekosoa vikali Bunge chini ya Spika Tulia Ackson, akisema kuwa ni dhaifu na halina ubinadamu. Kauli hii imekuja baada ya Bunge kutupilia mbali ombi la kujadili suala la utekaji na mauaji, ambapo Aida Joseph Khenani alitoa hoja ya kuitaka Bunge lijadili suala...
  7. L

    Rais wa Armenia apata Bahati ya kipekee kuonana na Dkt Tulia Rais wa IPU

    Ndugu zangu Watanzania, Rais wa Armenia ameonyesha kufurahia sana na kutabasamu pale alipopata bahati ya kuonana na Rais wa umoja wa Mabunge Duniani Mheshimiwa Daktari Tulia Ackson Mwansasu aliyekuwa Armenia kuongoza vikao vizito sana. Ikumbukwe ya Kuwa ni miezi michache tu Dkt Tulia aliweza...
  8. J

    Pre GE2025 Sugu apumua, Lucas Mwashambwa hatagombea Ubunge Jimbo la Mbeya mjini aamua kumwachia Dr Tulia aendelee kuleta Maendeleo!

    Palikuwepo wasiwasi Kwamba Mwanasiasa Maarufu Kanda ya Nyasa Lucas Mwashambwa atachukua form za kugombea Ubunge Jimbo la Mbeya mjini. Uvumi huo ulimfanya mbunge wa zamani Joseph Mbilinyi (Sugu) Kupata mchecheto kwani anamuhofia Zaidi Lucas kuliko Dr Tulia. Hata hivyo Lucas amesema yeye hana...
  9. B

    Pre GE2025 Kinachoendelea Mbeya kamatakamata ya viongozi wa CHADEMA ni msiba kwa spika Tulia Akson na CCM

    Kuwakamata viongozi wa chama kikuu cha ushindani CHADEMA mkoani Mbeya kinaweka rehani ubunge wa Mbunge wa Mbeya ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania na Chama chake cha Mapinduzi (CCM) Hatua hiyo inakipa umaarufu chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kiki na...
  10. Erythrocyte

    Tulia Ackson anatoa Tuzo kwa Waandishi wa Habari kama nani, Ili Iweje?

    Na kwamba baada ya Tuzo hizi Zinazodaiwa kuambatana Rushwa ya hela, kuna Mwandishi yeyote hapo Mbeya atakayeandika Ukweli mchungu kuhusu huyu Mbunge? Ni lazima Mamlaka ikemee kitendo cha Kila Mtu kuwapa Tuzo Waandishi wa Habari, ikiwa kama kuna aliyeguswa na Umahiri wa Wanahabari basi atumie...
  11. Morning_star

    Rais wa Urusi Vladmin Putin anavyomwangalia Tulia Akson unadhani anafikiria nini?

    She is a woman! She is black! She comes from poorest country! She is from Africa! What does she think she is, to talk to me? Does she know any thing about war? ...................... Ongezea na wewe ....
  12. Wakusoma 12

    Nampongeza Spika Tulia Akson kwa msimamo wake dhid ya wabaya wa Bashe. Tuliona huko nyuma Lowassa akisungiziwa kwa maneno kama ya Mpina

    Life goes on wakuu, mwaka 2008 aliyekuwa waziri mkuu wa Tanzania Edward Lowassa aliundiwa zengwe lililopelekea kujihuzuru kwake. Alichokifanya Lowassa lilikuwa ni jambo jema lakini lililopelekea watanzania kukosa huduma ya kiongozi jasiri na shupavu. Kimsingi matatizo yote yanayotukabiri Leo...
  13. T

    Nani ni genius kati ya Mpina vs Bashe au Tulia vs Mpina

    Naomba tutafakari nani genius kati ya hawa; Mh. Mpina vs Mh. Bashe Au kati ya; Mh. Tulia vs Mh. Mpina. Uwanja upo wazi. Pesa mbaya! ==== Pia soma: Spika Tulia amburuza Luhaga Mpina Kamati ya Maadili Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge...
Back
Top Bottom