Kwani ni kitu gani kimewasibu TBC1 mshindwe kurusha HD kwenye chaneli zenu za TBC1 na Safari Chaneli?. Ubora wa picha ni duni sana. Hii ni chaneli ya Taifa, kutuonyesha ‘ungaunga’ kwa picha ambazo unaona kabisa zilipigwa kwa HD hamtutendei haki. Vipindi vya chaneli nyingine kama ZBC, Channel 10...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.