tuma kwenye namba hii

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pdidy

    Sehemu ya biashara nimekodi.kila ikifika tarehe za kulipa natumiwa sms mimi ni mwenye nyumba wako tafadhali tuma, wanajuaje hawa wezi?

    Nauliza tu kwa Nia njemaa WAPENDWA Mm na sehemu kawe tatu za BIASHARA nimekodisha KILA ukifika wakati WA KULIPA kodi nkatumiwa msg za MATAPELI NDUGU....jitahidi basi tulipane Kodi yetu na natumiwa kwenye line mbili tofauti Haitoshii Na VYUMBA napangisha airport Yaani wapangaji wannenkati...
  2. Pang Fung Mi

    Ifakara ndio mji wa wajanja. Wezi wa TUMA kwenye Namba hii makao makuu yao Ifakara. Ifakara ni noma sana

    Hatimaye hadi mamlaka za Serikali hasa wizara ya mambo ya ndani imenyoosha mikono, imeweka bayana kuwa ifakara ndio Baba lao wa tuma kwenye namba hii. Ifakara iko kijanja zaidi. Ni hayo tu
  3. R

    Hivi hawa watu wa ile pesa tuma kwenye namba hii wanashughulikiwa kweli na mamlaka?

    Bado napata meseji zao. Sielewi hizi namba wanazotumia kama zimesajiliwa kwa NIDA na alama za vidole wanapata wapi ujasiri wa kutapeli watu maana kuwakamata ni jambo rahisi. Mamlaka husika nataka jibu vinginevyo kazi imewashinda.
  4. Damaso

    Tuma kwenye namba hii wamemdondosha mzee Thomas

    Mzee Thomas Ayo mwenye umri wa miaka 67 mkazi wa Kata ya Kiutu wilayani Arumeru mkoani Arusha amefariki dunia ghafla (nje ya duka la wakala wa fedha ) mara baada ya kupata mshtuko alipobaini ametapeliwa kiasi cha fedha shilingi laki nne na tisini na nane (498,000) alizotuma kwenye namba...
  5. Kidagaa kimemwozea

    Kagera: Mwalimu atapeliwa zaidi ya milioni 100 kupitia simu yake ya mkononi

    Jeshi la polisi mkoani Kagera limewakamata watu wawili kwa tuhuma za kumtapeli mwalimu mstaafu zaidi ya Shilingi milioni 100 kupitia simu yake ya mkononi ambayo imeunganishwa na akaunti yake ya benki. Matapeli hao wanadaiwa kumhadaa mwalimu huyo kwa kumwambia wanamtengenezea simu kisha kumuibia...
  6. kichongeochuma

    Hivi serikali inalichukuliaje swala la utapeli kwa njia ya simu? "Ile hela tuma kwenye namba hii", au imeridhika, imewashindwa? Watu wanatapeliwa

    Hii nchi imekuwa ya risk sana and no one cares! Watu wanaibiwa fedha, watu wanatapeliwa kila siku , serikali imekalia kutuma meseji "usikubali kutumanfedha kwa namba usiyo ijua" who cares vijijini huko watu hawaelewi chochote, Kwanini serikali isitafute namna ya kushughulika na hao matapeli...
Back
Top Bottom