tume ya haki za binadamu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tume Haki Binadamu(THBUB)

    Tume ya haki za binadamu na utawala bora (THBUB) yalaani vikali mauaji ya bw. Jumanne juma aliyechomwa kwa mafuta Kimara

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Tamko la THBUB kulaani mauaji ya Bw. Jumanne Juma Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha Bw. Jumanne Juma (28), aliyekuwa mkazi wa Mtaa wa Kimara B, Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es salaam aliyeuawa kwa...
  2. Tume Haki Binadamu(THBUB)

    Tume ya Haki za Binadamu (THBUB) yachunguza mauaji ya vifo vya Watu wawili vilivyotokea Pemba

    Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imesema inachunguza vifo vya watu wawili vilivyotokea hivi karibuni, Mkoa wa Kaskazini Pemba. THBUB imeeleza imepokea kwa masikitiko makubwa vifo vya Nd. Athuman Hamad Athuman na Amour Khamis Salim, waliokuwa wakaazi wa kijiji cha Kiungoni, Wete...
  3. Tume Haki Binadamu(THBUB)

    Special Thread: Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB). Karibu tukusikilize

    Habari wana JamiiForums, Hii ni Akaunti rasmi ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), kupitia thread hii, tunakukaribisha tuzungumze na tutambue haki zetu sote Utangulizi Ni Idara huru ya Serikali ambayo inashughulikia masuala ya haki za binadamu na utawala bora na ni chombo cha...
  4. Erythrocyte

    Twaha Mwaipaya: Nimejiridhisha kwa 100% kwamba nafuatiliwa na watu wabaya, wenye malengo mabaya dhidi yangu

    Kama mmepanga kuniteka msitumie nguvu kubwa mpaka kuja nyumbani kwangu na kudanganya mambo mengi, najua hakuna atakae ishi milele ila endapo mtatoa roho yangu wapeni fursa ndugu zangu ya kuzika mwili wangu, yule kijana mliemtuma jana saa 5:00 asubuhi alievaa kapero na T-shirt nyekundu mwambieni...
  5. I

    Ufafanuzi wa Kisheria kuhusiana na utekaji unaoendelea

    Masuala yanayohusiana na utekaji nyara wa watu yanapovihusisha vyombo vya dola kama polisi, huibua wasiwasi mkubwa kuhusu haki za binadamu, utawala wa sheria, na uwajibikaji wa mamlaka. Katika muktadha wa Tanzania, kama kuna madai kama hayo, ni muhimu kufuatilia kwa karibu taarifa rasmi na...
  6. Roving Journalist

    Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimezindua Ripoti ya Msaada wa Kisheria-2023

    Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) leo, tarehe 20 Agosti 2024, kimezindua Ripoti yake ya Taarifa ya utoaji msaada wa kisheria kwa mwaka 2023. Uzinduzi wa Ripoti hiyo itaambatana na mjadala, ambapo kati ya wazungumzaji ni Dr. Helen Kijo-Bisimba, Dr.Anna Henga ambaye ni Mkurugenzi...
  7. Leak

    Pauline Gekul anapaswa kurejeshwa kwenye uwaziri baada ya Tume za haki za binadamu kumsafisha?

    Baada ya Tume haki za Binadamu kusema wazi kuwa kwenye uchunguzi wake imeshindwa kubaini kama Mbunge wa Babati Paulin Gekul alitenda kosa la kumuingiza chupa kijana yule sehemu za siri! Hivyo ni wazi Paulin Gekul atarejeshewa uwaziri baada ya kutumbuliwa kimakosa! PIA SOMA - Tume ya Haki za...
  8. Mystery

    Kupotea Kwa wananchi kadhaa na serikali kuamua kukaa kimya, tafsiri yake ni kuwa wananchi tutaamini kuwa, serikali yetu inahusika!

    Jukumu kubwa kabisa la Polisi nchini, ni kuwalinda raia wake na Mali zao. Inapotokea raia mbalimbali, wanapotea bila serikali yetu kutoa maelezo yoyote kuhusu kupotea huko, tafsiri yake ni kuwa wananchi tutaamini kuwa serikali yenyewe ndiyo inahusika. Tumeshuhudia Kwa miezi kadhaa iliyopita...
  9. BARD AI

    UTEUZI: Rais ateua Wenyeviti wa Bodi LATRA, Airtel na Tume ya Haki za Binadamu

    Prof. Ahmed M. Ame ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Ardhini (LATRA). Amemteua Eliud Betri Sanga kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Airtel Tanzania akichuku nafasi ya Gabriel Malata aliyeteuliwa kuwa Jaji. Jaji Mstaafu Mathew...
Back
Top Bottom