Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora ikiongozwa na Kamishna Nyanda Josiah Shuli leo Agosti 27, 2024 wamekutana na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na Katibu Mkuu wa Chama John Mnyika Makao Makuu ya Chadema yaliyopo Mikocheni, Dar Es salaam.
Agenda kuu ya mazungumzo ikiwa tukio la...
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imemkuta na hatia ya matumizi mabaya ya madaraka, Mkuu wa Mkoa wa Arusha (RC), Paul Makonda aliyeagiza mwananchi mmoja kukamatwa na kuwenda rumande saa 96 bila kufunguliwa mashtaka.
Pia imesema, Makonda alipoitwa mbele ya tume kuwasilisha utetezi...
Mtu yeyote akisimama mbele ya mkusanyiko wowote wa Watanzania akatoa kauli ya kwamba, ili kuwe na maenendeleo makubwa na kumfikia kila mtanzania, kunahitajika mabadiliko makubwa katika utawala na uwajibikaji serikalini; hakika hakutakuwa na mjadala.
Ila mjadala utakuwepo, tena mkali; ikitakiwa...
jicho la tatu katika kusimamia uwajibikaji
katiba mpya
katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania
mabadiliko katika utawala
mabadiliko katika uwajibikaji
maendeleo ya mtanzania wa kawaida
mwongozo wa utawalaboratumeyahakizabinadamunautawalabora
usimamizi wa serikali
utawalabora
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.