Tume ya Uchaguzi ya Namibia (ECN) imeeleza wasiwasi wake kuhusu idadi ndogo ya watu wanaojiandikisha kupiga kura kwa ajili ya uchaguzi ujao ikiwa zimebaki wiki mbili tu.
Hayo yamesemwa na afisa mkuu wa uchaguzi wa ECN Peter Shaama katika mkutano na waandishi wa habari.
Bwana Shaama amesema...