tundu lissu kudanganya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kwa maelezo ya CDF Mabeyo, Tundu Lissu ni muongo wa kutupwa

    Kwanza kabisa Tundu Lissu anashangaa watanzania kufurahia madhila aliyopitia ikiwemo kupigwa risasi wakati na yeye alikuwa anafurahia madhila iliyokuwa inapitia nchi ikiwemo kukamatwa kwa ndege na alikuwa anamtukana rais waziwazi kabisa. Pili Tundu Lisu alitangaza Hayati Magufuli amesafirishwa...
  2. J

    Sikumbuki ni lini Tundu Lissu aliwahi kudanganya kwa kudhamiria, huyu ni Mwanasiasa wa Kipekee sana!

    Nimejaribu kupitia kumbukumbu zake mbalimbali mitandaoni na magazetini tangu akiwa mwanasheria wa Mazingira hadi Siasani NCCR na sasa Chadema kiukweli sijakuta Uwongo wa huyu Mwamba Ni nadra sana kuwapata wanasiasa wa aina hii Katika Dunia ya Leo Nimekuwa nikiwafuatilia sana Tundu Antipas Lisu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…