turkey

  1. C

    Fully funded scholarship for undergraduate, Masters and PhD in Turkey

    Haya ndugu zangu kama kawaida yangu ikitokea fursa nawatonya. Wengi waliniuliza kuhusu undergraduate, haya fursa ndo hiyo ya kwenda uturuki. Application ni simple sana just visit website Yao, na unaweza apply hata kama huna passport UKATUMIA national ID. Mimi kama kawaida yangu ni kuwasaidia...
  2. J

    Recep Tayyip Erdoğan wa Turkey, tamaa yake ya kurudisha Ottoman Empire huenda ikamgharimu

    Kwa wale msiojua Rais wa Turkey Recep Tayyip Erdoğan ni Islamist kindakindaki. Kwa sasa Rais huyo kupitia chama chake cha Adalet ve Kalkınma Partisi, (AK Parti) ni muumini mkubwa wa Muslim brotherhood na hapo ndipo wanapokutana na Serikali ya Qatar ambayo ndiyo mfadhili mkubwa wa mbinu zote...
  3. Eli Cohen

    Watu kadhaa wameuawa katika shambulio la kigaidi dhidi ya Shirika la Viwanda vya Anga la Uturuki

    Pole kwa wahanga wa ugaidi huu nchini Turkey ulioacha baadhi ya watu kufariki. Several killed in a terrorist attack against Turkish Aerospace Industries (TAI) in Kahramankazan, Ankara
  4. Mwl.RCT

    Video: Natural Disasters (Nov.19.2023)- Flood in Mecca, Earthquake in Turkey, Snowfall in Europe

    Natural disasters wreak havoc worldwide, causing widespread damage, loss of life, and displacement. Torrential rains caused severe flooding in the Dominican Republic, the Philippines, Dubai, Santa Katarina, and Hugh, leading to evacuations, fatalities, and transportation disruptions. Ethiopia...
  5. Webabu

    Rais Erdogan wa Uturuki aiambia Israel sitisha vita. El Sisi wa Misri aiambia ifungue mpaka

    Hali ndani ya Gaza imeelezwa kuwa ni balaa na machafuko huku majeshi ya Israel yakiwa yameingia kikamilifu eneo hilo na askari wa IDF wakipigana na watu mpaka kwenye kambi za wakimbizi. Katika hali ya machafuko kiasi hicho raisi wa Uturuki ameiambia Israel isitishe vita mara moja. Raisi wa...
  6. masai dada

    Maonyesho ya kibiashara china na Turkey

    Kwa wadau wnaaotaka kusafiri china na turkey Kuna maonyesho mbali mbali Katika kipindi mbalimbali katika mwaka kama ilivyo kwetu Kuna 7/7. Nina dondoo kidogo...naomba tukutane hapa kupeana huu mchongo kwani nimekuja kugundua yaani Kwa sisi ambao hatukuwa kusafiri china au uturuki....kuenda...
  7. GENTAMYCINE

    Leo Wakosoaji ( Critics ) tunafananishwa na Ng'ombe, nawe tukikuita ni 'Christmas Turkey' wa Wazungu na 'Eid Turkey' wa Waarabu utavumilia?

    Je, na Wengine ( Wakosoaji uwafananishao na Ng'ombe ) wakienda mbali zaidi na Kukuita Wewe Empty Clove Island Baloon utafurahi nawe Kuvumilia kama Wao wanavyokuvumilia? Ngoja kwa sasa Ng'ombe ninyamaze.
  8. A

    Turkey seizes $1 bln of counterfeit headed to Africa countries

    Turkey seizes $1 bln of counterfeit money headed for African countries Reuters, Istanbul Published: 09 June ,2023: 09:37 PM GSTUpdated: 09 June ,2023: 10:01 PM GST Turkish security forces seized $1 billion of counterfeit money in Istanbul and arrested six people involved in the operation...
  9. USSR

    Burundi yatuma kikosi cha waokoaji Uturuki, nimejifunza kutoa ni moyo

    Moja ya mawaziri wanaoamliwa mambo ya wizara na makatibu wa Ikulu ni huyu mama kule jeshini walisema ni mpole sana huku zamani tuliambiwa Wizara ya Ulinzi inafaa wapole. Kule SADC nguvu ya Kabudi ndio ilimbeba alipotoka mama Tax abakia mweupe kabisa, ishu za peace keepers nje ya nchi na hasa...
  10. Wakusoma 12

    Raia wa Pakistan asiyejulikana anayeishi Marekani atoa msaada wa zaidi ya bilioni 60 kwa wahanga wa Tetemeko la Uturuki

    Wakuu haya ndiyo matendo makuu sasa, fanya mambo kisha unapotea. Mwanaume mmoja ametembelea ubalozi wa Uturuki nchini Marekani na kutoa msaada wa Dola za Kimarekani milioni 30 (zaidi ya bilion 60 za Kitanzani). Msaada huo ni kwa ajili ya huduma za kiutu kwa wahanga wa Tetemeko la Ardhi. Mtu...
  11. Wakusoma 12

    Baada ya kushuhudia athari za tetemeko Uturuki na Syria, Afrika ijitafakari

    Wakuu amani iwe nanyi. Bara Afrika halijaonesha mshikamano na ulimwengu katika kuwafariji wahanga wa tetemeko la Ardhi lililotokea huko Uturuki na Syria. Viongozi wa Afrika wamekuwa wakituchonganisha na mataifa makubwz ya ulaya Kwa kutuambia wazungu hawana upendo na wanatuhujumu. Ukweli ni...
  12. Mathanzua

    The slithering human filth of the US and the West has been laid bare

    The slithering human filth of the US and the West has been laid bare:17,000 Dead (So Far) After Earthquakes smashes Turkey and Syria,but no aid to Syria so far because of sanctions. 09 FEBRUARY 2023 More than 17,000 people are dead after a 7.8 magnitude earthquake rocked southeastern Turkey...
  13. BARD AI

    Matetemeko ya Ardhi yaliyoua watu wengi Zaidi Duniani ndani ya Miaka 10

    Taasisi ya National Earthquake Information Center (NEIC) inayochunguza Taarifa kuhusu Tetemeko la Ardhi, inakadiria kuwa Matetemeko 20,000 ya ukubwa tofauti yanatokea duniani kote kila mwaka sawa na wastani wa Matetemeko 55 kila siku. Mwaka 2021, Dunia ilipigwa na Matetemeko 2,200 yenye ukubwa...
  14. S

    Msaada: Visa ya Cyprus, Turkey au Holland

    Habari yenu Wakuu. Naomba msaada wenu wa maelekezo vitu gani vinahitajika kupata visa ya kwenda aidha Cyprus,Turkey au Holland. Kati ya hizo nchi 3 ipi ni rahisi kidogo suala la kupewa visa kwa Mtanzania? Nikitumiwa Barua ya Mualiko na Mwenyeji wangu akisema yeye atakua Responsible kwangu...
  15. C

    Grain ships zimeshatoka Odessa, Ukraine Kwa escort ya Turkey Naval forces bila ruhusa ya Putin

    Putin aligoma kuruhusu melibza nafaka kutoka Ukrain, na akatishia kupiga blacksea blockade. Sasa Meli zimetoka Chini ya escort ya Turkey Navy Bila usumbufu wowote. Russian Navy base ilipigwa na drone pale Sevastopol, Crimea. For just reference: 1. Turkey has a 2nd largest army of any...
  16. Zacht

    Why did the US imposed sanctions on Turkey over the purchase of the S-400 missile system from Russia?

    From Quora All behind this , it is the intentions of USA to invade/divide Turkey in next decade… Of course Turkey would the next nation after all weak ones had been invaded!! General Wesley Clark Wars Were Planned Seven Countries In Five Years Turkey is been in the market for air...
  17. EINSTEIN112

    Wakati Turkey ikiwapa "msaada" wa drones 4 Ukraine Iran inatarajiwa kutoa mamia ya drones kwa Russia

    The United States said Monday that it has intelligence indicating Iran may soon supply Russia with hundreds of unmanned aerial vehicles, including “weapons-capable” drones, to use in its war with Ukraine, a move that would underscore the growing cooperation between two American adversaries...
  18. britanicca

    Swedish, Finnish diplomats to head to Turkey for NATO talks

    Swedish and Finnish Foreign Ministers to travel soon to Turkey for talks to address Ankara's objections to NATO membership for the two Nordic countries, Turkish media reported citing Swedish Foreign Office. ======= STOCKHOLM, May 16 (Reuters) - Senior representatives of Sweden and Finland...
  19. kokudo

    Wauza Vipodozi hutoa wapi bidhaa Kati ya China, Turkey na US?

    Kati ya nchi hizo wapi wanatoa vipodozi affordable price and original? Najua kuna product zinatoka China na ni bora kabisa je ni zipi?
  20. Sky Eclat

    The foot of a marble sculpture of Marcus Aurelius that was unearthed in Southern Turkey.

    Marcus Aurelius ni mmoja wa Wafalme wa iliyokua dola ya Urumi. Ni mmoja kati ya Wafalme watano bora wa dola hiyo. Alitawala kuanzia mwaka 161 mpaka 180.
Back
Top Bottom