Wasaalam ndugu zanguni,
Katika tafiti zangu ambazo nimekuwa nikizitafiti takribani miaka
isiyopungua kumi(10). Nimekuja kugundua kwamba hawa vijana wa hapa DSM ni mzigo usio wa kawaida.
Ukipita mitaa ya Mwananyamala, kigamboni, kimara, makumbusho , kinondoni yaani hawa vijana sijui wapo...