Wasaalam,
TITO 2:11-13
Maana neema ya Mungu iwaokoayo wanaadamu wote imefunuliwa, nayo yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kidunia, Tupate kuishi kwa kiasi na haki, na utauwa, katika ulimwengu huu wa sasa, Tukilitazamia tumaini lenye Baraka na mafunuo ya Utukufu wa Kristo Yesu, MUNGU mkuu...