Nawasalimu kwa jina la Jamhuri,
Mimi ni katika waumini wa Muungano, na kawaida hua naupigia chapuo kutokana na manufaa yake kwa pande zote mbili.
Lakini hii ya leo imenifanya nishindwe kuvumilia hata kama nina kolomelo. Kuna kundi moja sogozi la waandishi nimeona kumetumwa tangazo la tuzo ya...