Rais Putin wa Russia amekataa pendekezo lilitolewa na Rais mteule wa marekani Bwana Donald Trump la kumtaka kusitisha mapigano kati yake na Ukraine na badala yake kuwepo na muda wa miaka 20 baadae ili Ukraine iweze kujiunga na Umoja wa za NATO.
Sambamba na hilo Bwana Trump alipemdekeza pia...
Wanachama wa Nato wameahidi kuunga mkono "njia isiyoweza kutenguliwa" kwa uanachama wa siku zijazo wa Ukraine, pamoja na misaada zaidi.
Wakati ratiba rasmi ya kujiunga na muungano wa kijeshi haikukubaliwa katika mkutano wa kilele huko Washington DC, wanachama 32 wa muungano huo wa kijeshi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.