Wanachama wa Nato wameahidi kuunga mkono "njia isiyoweza kutenguliwa" kwa uanachama wa siku zijazo wa Ukraine, pamoja na misaada zaidi.
Wakati ratiba rasmi ya kujiunga na muungano wa kijeshi haikukubaliwa katika mkutano wa kilele huko Washington DC, wanachama 32 wa muungano huo wa kijeshi...