uapisho wa ramaphosa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ufahamu; Ndege aliyotumia Rais kwenda SA kwenye uapisho wa Ramaphosa ,Boeing 787 inabeba abiria wangapi?

    Mimi ni mtanzania mlipa Kodi. Ninaomba wenye kuweza kunielewesha jambo hili. Je ndege iliyo tumika kumpeleka Rais Samia Africa ya kusini kwenda kwenye uapisho wa Ramaphosa aina ya Boeing 787 inabeba abiria wangapi? Nikipata jibu nitauliza swali la pili?
  2. Viongozi watakaohuduria Uapisho wa Ramaphosa

    Viongozi toka nchi zifuatazo wapo tayari Afrika Kusini kuhudhuria sherehe za Uapisho wa Cyril Ramaphosa, . 1. Eswatini, 2. Lesotho, 3. Uganda, 4. Namibia, 5. Angola, 6. Palestina, 7. Egypt, 8. Kenya, 9. Zimbabwe, 10. Tanzania. PIA SOMA - Rais Samia kwenda Uapisho wa Ramaphosa Chanzo: Heads of...
  3. L

    Rais Samia atua Afrika Kusini kushiriki uapisho wa Ramaphosa hapo kesho

    Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan ametua kwa kishindo na salama kabisa Nchini Afrika kusini,ambako amekwenda kwa ajili ya kuhudhuria uapisho wa Rais wa Taifa hilo Mheshimiwa Ramaphosa utakaofanyika...
  4. Rais Samia kwenda Afrika Kusini kwenye uapisho wa Ramaphosa

    Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kusafiri kuelekea Jamhuri ya Afrika Kusini leo jioni kwa ziara ya kikazi ya siku moja kushiriki hafla ya uapisho wa Rais Mteule, Matamela Cyril Ramaphosa ambaye amechaguliwa kuwa Rais wa Nchi hiyo. Rais Mteule Matamela Cyril Ramaphosa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…