Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mohamed Mchengerwa ameagiza kufuatiliwa, kuchunguzwa na kuchukuliwa hatua kwa watendaji wote walioshiriki kukwamisha utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayosimamiwa na ofisi yake na kusababisha ishindwe...
Serikali inatumia Kodi zetu kiholela sana,
Nimetembea Mikoa mbalimbali hapa nchini Sasa humo wilayani kuna kuogopesha kwa uwepo wa magari waliyoyabatiza Kwa jina la magari mabovu (chakavu),
Lakini kiuharisia naona sio jina sahihi maana Kwa gharama za service sio kubwa kama gharama gari la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.