ubadhirifu na ufisadi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Je, Abdul ndio anataka kuinunua Mount Meru Hoteli baada ya Impala Hotel?

    Kuna fununu sana Arusha kwamba mtoto pendwa ndio anaichukua Hoteli ya Mount Meru, na ikumbukwe pia kuna fununu za kuinunua Impala Hoteli iliyokuwa inamilikiwa na Bilionare Mrema. Sasa ni Mount Meru Hoteli tena. Kijana ana ukwasi wa kutisha sana ndani ya miaka mitatu tu hii.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…