6 Usile chakula cha mtu bahili, wala usitamani mapochopochorts yake,
7 maana moyoni mwake anahesabu unachokula.a Atakuambia, "Kula, kunywa!" lakini moyoni mwake hayuko pamoja nawe.
8 Utatapika vipande ulivyokula; shukrani zako zote zitakuwa za bure.
π₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ€ππΏββππΏββππΏπΆπΎπΆπΎπΆπΎππΏππΏ
Kwahiyo tusile vya...