ubakaji wa kiogozi wa mafia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kiongozi wa Halmashauri Mafia adaiwa kumbaka Dada wa kazi. Je, Utenguzi alifanya Rais unahusiana na tukio hili?

    Anaandika Boniface Jacob katika ukurasa wake wa X Nimepokea taarifa mbaya kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mafia inayohusu kiongozi mkubwa wa Halmashauri hiyo kumbaka mfanyakazi wake wa ndani (house girl) ambaye ana umri wa miaka 16. Vyombo vya dola wilaya ya Mafia vyote vinafahamu lakini kwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…