ubalozi wa tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ojuolegbha

    Mkurugenzi ZBC atembelea Ubalozi wa Tanzania Comoro

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC) Ramadhani Bukini leo ametembelea Ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Comoro ambapo amefanya mazungumzo na Maafisa Ubalozini hapo wakiongozwa na Mhe. Balozi Saidi Yakubu. Bwana Bukini alitumia wasaa huo kuelezea maboresho yanayoendelea...
  2. L

    Hivi ndivyo David Kafulila alivyotua mbele ya sanamu la Mwalimu Nyerere New Delhi nchini India

    Ndugu zangu Watanzania, Mheshimiwa David Kafulila Chuma cha Reli ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa PPP, ametua mbele ya Sanamu ya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere Katika ubalozi wetu wa Tanzania Nchini India . Ambapo Mzalendo huyu mwenye maadili na aliyenyooka kama rula. Na ambaye amekuwa...
  3. Ojuolegbha

    Wasanii wa Tamthilia ya Mawio watembelea ubalozi wa Tanzania Comoro

    Wasanii wa tamthilia maarufu ya Mawio nchini Tanzania Gabo, Barnaba na Sarah leo wametembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Comoro na kupokewa na Mhe. Balozi Saidi Yakubu. Wasanii hao walioongozwa na Gabo wamemueleza Balozi Yakubu wapo Comoro kwa kuwa tamthilia yao ina mashabiki wengi Comoro na...
Back
Top Bottom